Taarifa zilizopo kutoka makao makuu ya chama cha Demokrasia Chadema hapo Kinondoni ni kwa Katibu wa chama hicho taifa Dr Slaa anajiandaa kugombea ubunge katika mkoa ya majimbo ya mkoa wa Arusha .
Huu umeeelzwa kuwa ni sehemu ya mkakati wa UKAWA kupata nguvu na ushawishi ndani ya kanda ya Kasikazini hususani mkoa wa Arusha katika uchaguzi mkuu ujao.
Taarifa zaidi zinabainisha kuwa timu ya watu watano kutoka makao makuu ya Chadema imeshaundwa na kutumwa Arusha kwa ajili ya kifanya utafiti juu ya jimbo lipi hasa litafaa kwaDr Slaa kugombea ubunge. Itakumbukwa kuwa Dr Slaa alikuwa mbunge wa KARATU