
HATUTALIPIZA KISASI
Mh. Mbowe alisema sisi hatutakuwa na muda wa kulipiza kisasi kutokana na yale waliyotufanyia ccm. Hata Nelson Mandela hakulipiza kisasi kwa makaburu baada ya wanaharakati wa Afrika kusini kuuawa, kupigwa, kufungwa magerezani na kufanyiwa ukatili wa kila aina. Tunakazi nzito ya ku-overhaul hii nchi kutokana uharibifu mkubwa uliofanywa na ccm kwa miaka mingi.
NB
Pongezi kubwa ni kwa watu wa mikoa ya kanda ya ziwa ( Mwaza, Shinyanga, Mara, simiyu na Kagera) kwa mabadiliko mazuri ya kimtazamo.
Na bado....>>>>>>
Tusikate tamaa tutashinda makamanda popote pale nchini.
Pongezi kubwa ni kwa watu wa mikoa ya kanda ya ziwa ( Mwaza, Shinyanga, Mara, simiyu na Kagera) kwa mabadiliko mazuri ya kimtazamo.
Na bado....>>>>>>
Tusikate tamaa tutashinda makamanda popote pale nchini.