Sunday, December 28, 2014

Harakati

Makamanda wakiwa kwenye ofisi ya chama wilaya ya Mbarali wakiongonzwa na mwenyekiti wa chama wa wilaya PETER MWASHITI aliyevaa T-shirt nyeupe na kofia akiwa sambamba na mtia nia wa ubunge watatu kutoka kulia mwenye skafu.
Wakiwa tayari kwenda kwenye kazi za ujenzi wa chama na ukombozi wa jimbo.